Baadhi ya waamuzi na makocha vijana wanaohudhuria semina ya mafunzo ya FIFA kwaajili ya michuano ya Copa coca cola.
Baadhi ya viongozi wa juu wa TFF ambao watakutana na uongozi wa bodi ya ligi Tanzania TPLB.
Ratiba ya Ligi Kuu msimu wa 2014-15
Ofisi za zamani za Shirikisho la Soka Tanzania TFF
Baadhi ya viongozi wa Coastal Union
Kikosi cha wachezaji wa Simba wakiomba dua katika moja ya michezo ya timu hiyo msimu uliopita.
Mwakilishi wa Kampuni ya Coca Cola Warda Kimaro(kushoto) akikabidhi vifaa vitakavyotumika kwenye mashindano ya Copa Coca Cola mwaka huu.

Jengo la makao makuu ya Yanga:Twiga/Jangwani.

Mmoja wa wanachama wa klabu ya Simba waliofukuzwa uanachama Michael Wambura mwenye suti.
Pichani baadhi ya waamuzi wa Tanzania waliohitimu kozi ya uamuzi ya FIFA.

Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 [Serengeti Boys]