Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.
Baadhi ya wadau wa habari nchini Tanzania wakijadili masuala mbali mbali ya utetezi wa haki ya kupata na kutoa habari
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016