Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.
Baadhi ya wadau wa habari nchini Tanzania wakijadili masuala mbali mbali ya utetezi wa haki ya kupata na kutoa habari
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.