Naibu waziri wa kazi na ajira nchini Tanzania, Makongoro Mahanga (kushoto) akizungumza na aliyewahi kuwa waziri wa maliasili na utalii Ezekiel Maige.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.