Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii Nsachris Mwamwaja (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).