
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani.

Baadhi ya wanachama wa klabu ya soka ya Simba wakiwa katika mkutano wa klabu hiyo hii leo.

Michael Wambura akiwa na baadhi ya wanachama wenzake waliofutwa uanachama na mkutano mkuu wa klabu ya Simba.

Mmoja wa wanachama wa klabu ya Simba waliofukuzwa uanachama Michael Wambura mwenye suti.

Rais wa umoja wa mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika, Mh Anna Makinda

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika Mkutano wa Viongozi wa Afrika nchini Guinea ya Ikweta

Umati wa wanachama wa klabu ya Yanga wakiwa katika mkutano mkuu.

Waziri wa maliasili na utalii wa Tanzania, mheshimiwa Lazaro Nyalandu.