Huduma za msingi kama baiskeli za magurudumu matatu ni muhimu na haki kwa watu wenye ulemavu wa viungo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.