Timu za Mpira wa Wavu zikipambana katika moja ya mchezo uliofanyika jijini Dar es salaam

4 Jul . 2014

Baadhi ya wanamichezo wa michezo ya UMITASHUMTA wakishangilia katika moja ya michezo yao.

14 Jun . 2014

Wanamichezo vijana wa Tanzania chini ya miaka 15 wakiwa katika michuano ya vijana ya Africa huko Botswana.

3 Jun . 2014

Wanamichezo mbalimbali wakiandamana wakati wa ufunguzi wa mashindano ya UMISETA Dar es salaam

31 Mei . 2014

Wanamichezo wa sanaa ya mapigano wakiwa katika picha ya pamoja katika moja ya maonesho yao.

31 Mei . 2014

pichani ni moja ya kadi ambazo mashabiki wa timu za Simba na Yanga watazitumia

30 Mei . 2014

Kikosi cha timu ya taifa stars kikiwa na jezi mpya ambazo zitabadilishwa.

29 Mei . 2014

Wanamichezo toka chuo kikuu cha Mkwawa wakipita kwa maandamano ya ufunguzi wa mashindano ya vyuo vikuu Afrika Mashariki mwaka 2013 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.

22 Mei . 2014

Baadhi ya wachezaji na viomgozi wa michezo wanaokwenda kushiriki michuano ya madola, wakikabidhiwa bendera

29 Apr . 2014
  •