Francis Cheka Akipanda gari ya Polisi kuelekea Gerezani

2 Feb . 2015

Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.

23 Jul . 2014