Baadhi ya wafanyabiashara mkoani Mwanza wakiwa wamebeba bango wakati wa vurugu za wafanyabiashara hao hivi karibuni.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.