Afisa habari wa Shirika la viwango Tanzania - TBS Bi. Roida Andusamile (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Riderman akiwa katika pozi
Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.
Afande Sele
Mkuu wa MICT tawi la Arusha Bw. Samuel Akorimo, akisalimiana Balozi Irene Kasyanju.