Mkurugenzi wa Habari kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Zamaradi Kawawa (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji - TIC Bw. Daudi Riganda.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.