
Kikosi cha taifa stars ambacho kitaivaa Msumbiji jumapili wiki hii.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC.

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania taifa stars kitakachowakabili Mambaz ya Msumbiji Julai 20 mwaka huu.

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika Mkutano wa Viongozi wa Afrika nchini Guinea ya Ikweta
Rais wa TFF akiwa na baadhi ya makocha waliohitimu kozi ya ukocha wa CAF Leseni B.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 cha Tanzania - Serengeti Boys.

Kikosi cha Stars kikirejea nchini.

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars ambacho kimeitoa timu ya taifa ya Zimbabwe.

Wanamichezo vijana wa Cricket Tanzania.

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars muda mfupi kabla ya kuanza kwa pambano dhidi ya Zimbabwe