Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro
Mwenyekiti wa umoja wa wakuu wa mikoa nchini Tanzania, mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016