Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira
Rais Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Stamina
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Blasius Chatanda, akionesha gari lililokamatwa na mirungi
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.