Mmoja wa Wenyeviti Wenza wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA ,James Mbatia akiongeza na waandishi wa habari.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013