Mgombea Urais kupitia chama cha Demekrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA,Mh. Edward Lowassaa akihutubia Wananchi walijitokeza jijini Mwanza.
Msanii Stamina wakati anatambulishwa kwenye lebo yake mpya ya Akida OG
Picha ya msanii Marioo