Afisa Masoko na elimu kwa umma wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Rajabu Mwenda (kulia) akizungumza na waandishi w habari katika ofisi za mpango huo hivi karibuni.
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.