Afisa Masoko na elimu kwa umma wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Rajabu Mwenda (kulia) akizungumza na waandishi w habari katika ofisi za mpango huo hivi karibuni.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.