Mabasi katika kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo kama yanavyoonekana pichani kufuatia mgomo wa madeereva nchi nzima.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana