Jengo la ofisi za makao makuu ya TFF Dar es Salaam.
Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira
Rais Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Stamina
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Blasius Chatanda, akionesha gari lililokamatwa na mirungi