Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013