Baadhi ya wanamichezo wa shule za Sekondari wakipita kwa maandamano katika moja ya michuano ya UMISETA.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya criketi ya wasichana ya Tanzania katika picha.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016