Afisa program dawati la Jinsia na watoto kutoka Kituo cha haki za binadamu nchini (LHRC), Bi.Naemy Silayo
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Moja ya mechi za hatua ya mchujo zilizofanyika Jumamosi iliyopita.