Marehemu Shida Salum ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe. Hii ni picha aliyopiga wakati wa enzi za uhai wake.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.