Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.
Sadio Mane alijiunga na Liverpool mwaka 2016 akitokea Southampton
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.