Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli(katika)Kulia kwake ni Mkuu wa jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu na (kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba)
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.