Wachezaji wa timu ya Taifa ya Poland wakishangilia baada ya kutinga robo fainali ya Euro 2016.
Mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Moja ya mechi za hatua ya mchujo zilizofanyika Jumamosi iliyopita.