Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Godfrey Simbeye (kulia) akiwa na Mshauri Mkuu wa CESO Bw. Jose Jacome muda mfupi kabla ya kusaini makubaliano hayo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013