Wanakijiji katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wakiwa wanashughulikia Mlo wao kutokana na baa la Njaa
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.