Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.
Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Picha ya msanii Roma, Professor Jay na Fid Q