Jame Mbatia (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vinavyounda UKAWA katika mkutano na wanahabari leo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Sabasaba mjini Nkansi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa, Agosti 23, 2016.
Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi Bi.Bengi Issa (Kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
Rais wa Tanzania, Dkt John Magufuli
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa
Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha, Felician Mtahengerwa.




