Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),Mh. Edward Lowassa akihutubia mkutano Kibamba
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.