Katibu wa Muungano wa Vyama vya Madereva, Rashid Salehe, akizungumza na madereva akiwa ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja huo Bw. Shaban Mdemu.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Moja ya mechi za hatua ya mchujo zilizofanyika Jumamosi iliyopita.