Spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Hussein Mwinyi.
Katibu wa jukwaa la wahiriri Tanzania Neville Meena.
Pacha wa Alikiba Harith K upande wa kushoto, kulia ni msanii Alikiba
Nandy na Maua Sama
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko alipokutana na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame,