Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyokuwa inaangalia ukosefu wa nguvu kazi katika uchumi. Katikati ni balozi wa Ufaransa nchini Bi. Malika Berak.
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.