Timu hiyo inayonolewa na Kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani imeshinda mchezo mmoja tu dhidi ya Namungo FC ikipoteza dhidi ya Azam FC, Tabora United,Al Hilal,MC Algers na kutoka sare dhidi ya TP Mazembe katika mchezo wa makundi wa ligi ya mabingwa Afrika.
Nahodha wa zamani wa Uruguay na Mchezaji wa klabu ya Manchester United ya England atashiriki mashindano ya Tennis yatakayofanyika Uruguay Montevideo. Forlan ana umri wa miaka 45 atashirikiana na Federico Coria kwenye michezo ya wawili kwa wawili.