Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.
Pacha wa Alikiba Harith K upande wa kushoto, kulia ni msanii Alikiba
Nandy na Maua Sama
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko alipokutana na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame,