Waziri wa Katiba na Sheria Mh Dkt. Asha-rose Migiro akitoa salama za Rambirambi kwa niaba ya Serikali wakati wa Mazishi ya Kepteni John Nyerere.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.