Kocha wa Twiga Stars Rogasian Kaijage katikati akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Mbwana Samatta (kushoto) na wachezaji wa Uganda (kulia).