
Afisa Msajili wa Sanaa wa BASATA Agustino Makame alipokuwa akizungumza na washiriki wa shindano la Dance100% juu ya umuhimu wa kujisajili Jijini Dar es salaam.

Kundi la J Combat kutoka Visiwani Zanzibar

Kibibi Ramadhani binti pekee aliyefuzu hatua ya nusu fainali shindano la Dance100%

Jaji mkongwe wa shindano la Dance100% Super Nyamwela

Kundi la Makorokocho Crew lilipokuwa likionesha ufundi katika shindano la Dance100% Robo Fainali

Kundi la Wazawa Crew lilipokuwa likishiriki hatua ya robo fainali.

Kundi la Best Boys Kaka zao ambalo limeondolewa ushiriki wa Dance100%

Mkuu wa matukio ya sanaa kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi alipokuwa akizungumza na washiriki wa Dance100%

Kundi la 'Best Boys Kaka Zao'