Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars wakipasha misuli kabla ya kuivaa Uganda Cranes.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016