Mtaalamu wa masuala ya uchumi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.