Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mapato nchini Tanzania TRA, Rished Bade. Mamlaka yake ndio mkusanyaji mkuu wa kodi, mapato na ushuru wote wa serikali.
Mwamuzi Issa Sy
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wabunge wanawake wa nchi za Jumuiya ya madola kanda ya kaskazini, Beatrice Shelukindo.