
kiungo wa mshambuliaji wa pembeni wa Mtibwa Shizza Ramadhani Kichuya.

Kiungo wa Azam FC na Taifa Stars Faridi Musa akiwa nchini Hispania.

Laudit Mavugo wa Vital’O ya Burundi.
Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.

Mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski.

Kiungo wa Leicister City N’Golo Kante.

Aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu ya Yanga Salum Telela.
Mkuu wa idara ya habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro akizungumza baada ya kutua TAKUKURU.

Mshambuliaji hatari wa Leicester City Jamie Vardy akibusu kombe la ubingwa wa EPL.

Beki wa timu ya Villarreal Eric Bailly wa mbele mwenye jezi ya njano

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia moja ya mabao yake akiwa PSG.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.