Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba. Waziri Simba wizara yake ndiyo yenye jukumu la kusimamia ulinzi wa haki za watoto nchini Tanzania.
Bob Junior
Nembo ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Bondia Mfaume Mfaume kulia wa mabibo Nakozi gym Dar es Salaam akipambana na Cosmas Cheka wa Morogoro.
Wachezaji wa Twiga Stars wakiwa katika mazoezi.