Mkurugenzi wa kampuni ya Swala Oil and Gas, Abdullah Mwinyi (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Bi. Shyrose Bhanji.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.