Mbunge wa Arumeru Magharibi, Godluck Ole Medeye (kushoto) akiteta jambo na waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni mjini Dodoma hivi karibuni.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk