Kiongozi wa mbio za mwenge Racheal kassanda akikabidhi mwenge kwa makamu wa Rais Dkt Bilal wakati wa uzinduzi wa mbio hizo mwezi April mwaka huu mjini Bukoba
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013