Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini Tanzania Absalom Kibanda (anayezungumza na simu) akisalimiana na Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Ansbert Ngurumo.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.