mtangazaji maarufu wa kipindi cha Nirvana cha EATV Deogratius Kithama akiwa na tuzo ya SFW
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam