Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi CCM, Mh Stephen Wassira.
Mkuu wa kitengo Cha mawasiliano na Uenezi wa NCCR Edward Simbeye
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.